SERIKALI WA AWAMU YA SITA YADHAMIRIA KUBORESHA HUDUMA AFYA YA MAMA NA MTOTO

Na Mwandishi Wetu Mikese. CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimesisitiza moja ya mikakati ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na RAIS Dkt SAMIA SULUH HASSAN ni kuhakikisha huduma za afya hasa ya Mama na Mtoto inaendelea kuboreshwa ili Wananchi wapate huduma zilizo bora zinazoambatana na vifaa tiba vya kisasa. Kauli hiyo imetolewa na na Katibu wa